![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1712209709-1.jpg)
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Barabara, Mha. Rashid Kalimbaga (wa tatu kushoto), akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Chama cha Mifuko ya Matengenezo ya Barabara Afrika, Kanda ya Afrika Mashariki, baada ya kikao cha siku moja jijini Dar es Salaam. Kulia kwa Mha. Kalimbaga ni Mwenyekiti wa chama hicho Bw. Rashid Mohamed ambae pia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Mfuko wa Barabara Kenya, pamoja na wajumbe wengine kutoka Tanzania, Kenya, Uganda.
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1693924423-3.jpg)
Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Barabara wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa Mfuko wa Barabara Zanzibar pamoja na Wakala wa Barabara Zanzibar baada ya kukagua barabara ya Kibele - Cheju (4.1 km), iliyojengwa kwa teknolojia mbadala itwayo "Chip Seal"
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1693923293-1.jpg)
Ukarabati wa sehemu ya barabara ya Mwanza hadi Shinyanga kwa fedha za Mfuko wa Barabara
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1693912692-IMG_6244.jpg)
Muonekano wa Daraja jipya la Ngira mkoani Kilimanjaro lililojengwa kwa fedha za Mfuko wa Barabara
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1712209899-2.jpg)
Kaimu Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Barabara, Mhandisi Rashid Kalimbaga, akisaini Mkataba wa ushirikiano wa uanzishaji na uendeshaji wa mpango wa tathmini ya barabara Tanzania katika warsha ya kufunga mradi wa majaribio ya mpango wa hatua kumi (Ten step plan), kuhusu miundombinu salama ya barabara nchini iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Chama cha Barabara Tanzania Bw. Joseph Haule.
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1693901318-stone paved.jpg)
Barabara ya Shule ya Msingi Igoma (mita370), iliyopo Igoma jijini Mwanza iliyojengwa kwa mawe, kwa gharama ya shilingi za kitanzania milioni 167.1 fedha kutoka Bodi ya Mfuko wa Barabara.
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1682324950-Kiyegeya1.jpg)
Muonekano Daraja la Kiyegeya mkoani Morogoro lilijengwa na litakarabatiwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara